Josky de Jozfat kafinix

Josky de Jozfat kafinix Silent is the best weapon
(1)

23/08/2023

Kuishi keja😴😴moja na watu wenu ni tricky sana.My first time kukuja Nairobi i remember nilikuwa msoto😢😢and i was living with my brother Brayo kwa single room ya mabati😴😴.Kila siku tulikuwa😤😤tunaenda ku hustle ndio tupate doo za food😢😢.Supper tunapika Sembe kubwa na sukuma wiki🤐🤐. Tunakula Sembe nusu tunabakisha half ndio turaukie asubuhi na Chai😱😱. Si mnaelewa😯!

Sasa shida iko hapa. I remember one day nikiingia kwa bed lakini usingizi😜😜ikakataa ku come kabisaaa juu nilikuwa naogopa bro wangu Brayo anaeza changamkia hiyo Ugali na asingizie Panya😉😉.
On the other hand🙁kumbe bro wangu👍alikuwa na the same same fears👀infact zake ni double juu anajua😎mimi ni Sembeholic✊✊mbaya sana naeza ichafua hiyo🤔🤔ugali hata na Chumvi ama Avocado akiwa amedoz😃.

One day nilitoka kwa bed🙁🙁kisniper kucheki hiyo mlima ya Ugali k**a iko ama imewekwa level na bro wangu😈😈.
Nikaenda hadi penye Sembe iko😊😊, saa hiyo giza iko kibao but🤗🤗huwezi guza hata Meza juu mind yako iko focused kwa Sembe🙄🙄. Unaruka mtungi ya Gas na ndoo ya vyombo chafu successfully😋😋.

Ile time nilienda kuinua Sufuria yenye🤓🤓 tumefunika nayo ugali nikagusa🤔🤔mkono ya bro wangu mwenye nilidhani amedoz😁😁.
K*mbe jamaa alishatangulia before me. Mshtuko ikanipiga hadi nikasikia ku collapse nikifikiria ni Ghost😬😬.But vile mimi ni mjanja nikamshow😎😎"yaani kumbe ile panya nilikuwa nasikia ni wewe".
Pia yeye kujibu habahatishangi akanijibu😜😜"hata mimi nimeshtuka kujua hiyo panya ni wewe✌".

Hapo ilibidi tugawane kila mtu share yake😋, tukakula ndio at least tulale na Amani😂😂😂.

Follow for follow
Hon. Josphat BarackHon. Josphat BarackHon. Josphat BarackHon. Josphat BarackHon. Josphat Barack

23/08/2023

Hon. Josphat BarackHon. Josphat Barack Josphat Barack
(Part 1)
Make sure umeweka like hata kabla ya kusoma plz🙏🙏..

Life after shule ni ngumu Sana manze.. expecially k**a mtu umeanguka exam🥺🥺..so Mimi baada ya kupata matokeo yangu ya form four na kuona nimeng'oa E yangu plain😎Niliamua sitaendelea kukaa pale kijijini juu ya aibu manze...so nikaongea na wazazi wangu ili waniruhusu niondoke nikaende kutafuta Maisha ..

Me==(nikipark nguo zangu huku nalia😭)
Mom==🙄🙄my son Sasa unalia nini?hata ukilia imagine machozi haitabadilisha grade yako..you have to accept the Results...kuanguka mtihani sio mwisho wa Dunia...uko na vitu mingi Tu unaweza fanya...don't give up my son..
Me==Why should I not give up mom😭😭...?Why always me😭?nawezaje pata E na vile wewe na Dad mmekua mkistraggle kupata school fees yangu,🥺🥺am very ashamed of my self....siwezi endelea kukaa hiki kijiji ..lee me go hata k**a sijui mahali naenda..
Dad==Noo kim..mambo ishaharibika...you can't Go anywhere...Sisi hatuna mtu wa ukoo mwenye unaweza enda kukaa na yeye...Sasa unataka kuondoka uende wapi???Wewe mwenyewe ulifanya mchezo shuleni...so kitu me naweza kuadvice ni utulie alafu ujipange urudi shule ujaribu tena maib utafaulu baadae..

Me==(nikijipanguza machozi)Daaad🙄🙄so unamanisha eti niende nirudie Form 4 tena🤔..
Dad==Yeah...that's what I mean...you have to try again...
Me===Aiiii hapana...mom amesema masomo sio kila kitu...I can't Go back to school.. excuse me Dad plz allow me to leave🙏🙏..

Dad==Leave to where????We have no Relative Kim what's wrong with you???
Me==Dad and mom plz Allow me to goo...le me goo plz....Mnipee Tu Baraka zangu me nikaende kutafuta Maisha.....nilifanya Form four nikiwa Mzee mkubwa Sana🥺🥺..I can't goo back to school...Dad plz Bless me en allow me to goo...Niko na fare ya kunifikisha City(Nairobi)wacha niende Tu Mungu mwenye anajua vile nitasurvive🥺🙏..

Mom==(akisimama na kuniwekelea mikono Kwa kichwa)🥲🥲it's very painful as parents to allow you to Go 😭 expecially unaenda

23/08/2023

Leo nimepanda matatu nikakaa karibu na ka-dem flani😌 na alikuwa na smartphonena imagine mimi niko na kamulika mwizi yenye haina kifuniko...So nikajijaza k**a maasai. ☺☺nikaiweka kwa maskio, "hello Mogaka, nakujia hiyo gari saizi na usinipigie saizi ju smartphone yangu imelost ndo naenda kununua ingine saizi....imagine niko na scrape ya huyo boy wangu wa mkono ndo natumia saizi....and by the way nikifika tao nitakutumia 70k umalizie kuunda hiyo gari. " 😌😌

K*malizia kuongea nikaskia huyo dem ananiita, " excuse me.. battery yako ndo hii ilikuwa imeanguka wakati umeanza kuongea." 😏😏😏

Wakuu 👩
Imebidi nisimamishe gari nishukie hapo 😥😥🙆
Still Hon. JosphHon. Josphat BarackHon. Josphat BarackaHon. Josphat BarackHon. Josphat Barack

23/08/2023

Step by step to the willing life.
Still Hon. Josphat BarackHon. Josphat Barack

23/08/2023

MAKANGA / MADONDA VICHWA MBAYA part.2

Makanga:::: haraka haraka bebwa😊

Shepherd::::Tao ni ngapi 😊?

Makanga::::Tao ni moja ama babako amejenga ingine 🙄

Jane:::: Nitakalia wapi na imejaa?

Makanga::: deree tutoe viti nje hii jamaa aone

Sam::: Usiniambie nisimame plz juu nimelipia kiti 🙄

Makanga::: Hata Ruto alisimama ndio apate kiti 🙄👀

Mary::: Nikalie kiti gani hii

Makanga:::: Apana kalia hio mtungi

Pillow: Hii gari inaenda upole sana

Makanga:::Shuka ukimbie ama upande ngamia

Symo::: Nitachelewa na kazi na Kazi 🙄

Makanga:::: Ungekuja Jana

Shakido17::::Ndere Beba huyo jamaa mrefu ako pale mbele

Makanga: Hatubebi miwa

Regian::::Konda Niko na K*mi si itatosha kufika Tao

Makanga::: Shukisha deree huyu jamaa anunue mandizi ateleze

Makanga:::Sasa wewe na hii ulevi Yako utafika mbinguni

Mlevi:::: k**a mnaenda mbinguni nishukishe Mimi naenda hapa Tao

Makanga::🙄🙄🙄

Others;;;;;;🤣🤣🤣🤣🤣

Huyu makanga anakaa kutoka sacco gani Leo amepatikana na mlevi😂🤣🤣🤣

Coutinue following our page wenye hamjatufollow 🙏🙏 Am Shepherd Pillow 💪🙏

23/08/2023

🤝🤝👍

Me👨🏾: hello babe🥰🤗🤩.Her🧑🏽‍🦳: Hello too my love☺😚.Me👨🏾: unaweza come hivi makejani beb🙄imagin nimeboeka tu pekeangu aki😓 ...
31/07/2023

Me👨🏾: hello babe🥰🤗🤩.
Her🧑🏽‍🦳: Hello too my love☺😚.
Me👨🏾: unaweza come hivi makejani beb🙄imagin nimeboeka tu pekeangu aki😓 na hii baridi.
Her🧑🏽‍🦳: aki sai siwezi make😰😩..niko Busy.
Me👨🏾:OK sweetheart💖🥰tutameet kesho basi.
Her🧑🏽‍🦳: Mmmmh😏😒..
Me👨🏾: Beb what's up🙄😵?
Her🧑🏽‍🦳: Don't call me beb😡so nowadays ushaboeka na mimi?? you don't need to beg me anymore😏..mbona nakuambia siwezi make kucome na unakubali tu hivo haraka😠..ama uko na form mingi hadi huwezi nibeg unibembeleze nikam🤔?
Me👨🏾: no beb si umeniambia uko busy aki😵.
Her🧑🏽‍🦳: Niko busy but mbona unakubali haraka ivo? at first you used to beg me until I come..sikuizi ulipata chenye ulikuwa unataka so you don't beg me again😒..?
Me👨🏾: kaa ilishaahapen we can't undo hio kitu enyewe nilishaapata but beb please am sorry🙏.
Her🧑🏽‍🦳: sorry for yourself🚮.its Over between us💔.
Me👨🏾: 😭😭😭💔.
(Me try to think what to say ndo askie vibaya) Ata hujui nilikuwa na backup ya wengine kaa saba😂😂
Her:(calling immediately me alafu nachukua na kiherehere thinking mambo iko m***i then I hear) wee Mbwa hii futa na unikome vile ulikoma kunyonya
Me:Na si nilikunyonya juzi.... hio nayo aje🙈
Me:(I call her... line busy, I call again... Line but line busy) na hivo niliachwa wakuu😂😂😂
So ladies there is a new kibanda in the market available kwa mwenye anataka kueka soko😜😜
KEEP fallowing my page😅😅😅

SIRI YA MAPENZIEpisode oneTulijuana naye for 2 years so hiyo siku alikua akuje date 🍆🍆💦mm nkingoja mlango ukaguzwa nkiju...
18/07/2023

SIRI YA MAPENZI
Episode one
Tulijuana naye for 2 years so hiyo siku alikua akuje date 🍆🍆💦mm nkingoja mlango ukaguzwa nkijua ni yeye🤔Nkt. Alikua mtoi wa jirani kwa ploti anaitwa Brendah alikuja ati nimwonyeshe unadownload aje ngwati😂😂🙌🙌mm nkiendelea kumwonyesha Sara akatext Sorry beb sitakam hop umeona kumenyesha..enyewe kulikua na manyunyu nje nkaelewa.But nliboeka ju nlikua nmemwait sana😥😥😱lakin Mungu naye ni nani 😂😂🙌sisi tukiendelea kudownload ngwati na Brendah,,, mvua ikashika ile ya mbuzi na paka😂😂😂🤦🤦Brendah naye ni nani si alianza kuwatch ngwati nikiona weee si nanii🍆alijam sasa mm nkaona hapa kimeumana nkajaribu kutoka nje nijifanye nachota maji mzee akskataa😂😂😂😂mm nkakaa hapo k**a mtu amepigwa na stroke😂😂🤔si dem akaanza kuniuliza ati "unaezafanya hvi" anaexpect niseme aje😂🙈🙈🤦🤦 nkasema yeesss akasema "unajidai" mm naye ni nani na kiherehere nkamwambia "tujaribu uone ka sitafanya hvyo". Naye ni nani weee akazima simu.
Mvua inje imeshika😂😂😂🤣halaf stima zmeenda na amezima simu😋😋😎😎GIZAAAA😂😂😂😂Ngoja nikojoe narudi na Episode 2 Kwa page yangu 👉 Stõrîês😋😋😋🏃🏃🏃😜Stõrîês

WHEN TO BE SILENTJosky de Jozfat kafinix1.  Be silent - in the heat of     anger.2.  Be silent - when you don't     have...
13/07/2023

WHEN TO BE SILENT
Josky de Jozfat kafinix
1. Be silent - in the heat of
anger.
2. Be silent - when you don't
have all the facts.
3. Be silent - when you
haven't verified the story.
4. Be silent - if your words
will offend a weaker Person.
5. Be silent - when it is time
to listen.
6. Be silent - when you are
tempted to make light of
holy things.
7. Be silent - when you are
tempted to joke about sin.
8. Be silent - if you would be
ashamed of your word later.
9. Be silent - if your words
would convey the wrong
impression.
10. Be silent - if the issue is
none of your business.
11. Be silent - when you are
tempted to tell an outright lie.
12. Be silent - if your words
will damage someone else's reputation.
13. Be silent - if your words
will damage a friendship.
14. Be silent - when you are
feeling critical.
15. Be silent - if you can't
say it without screaming.
16. Be silent - if your words
will be a poor reflection
of your friends and family.
17. Be silent - if you may
have to eat your words
later.
18. Be silent - if you have
already said it more
than one time.
19. Be silent - when you are
tempted to flatter a
wicked person.
20. Be silent - when you are
supposed to be working
instead.

"WHOEVER GUARDS HIS MOUTH AND TONGUE KEEPS HIS SOUL FROM TROUBLES"

Still Josphat Mutegi follow my page 👍👍👍💝
SILENT AND SMILE ARE THE STRONGEST WEAPONS

Cree Owners

💞 BWANA MKUNAJI💓💘(😘 Sweet Averina🤩)JoskyJosky de Jozfat kafinixoJosky de Jozfat kafinixaJosky de Jozfat kafinixnJosky de...
13/07/2023

💞 BWANA MKUNAJI💓💘
(😘 Sweet Averina🤩)
JoskyJosky de Jozfat kafinixoJosky de Jozfat kafinixaJosky de Jozfat kafinixnJosky de Jozfat kafinixON 1
EPISODE 1
So at the beginning of this year I won myself a lottery 😁 inshort nliangukia ka Mali Safi, this girl alikuwa na figure achana na hizo zako siste 😂huddah na vera kwa dustin rangi ni ya thao,sura K**a ya mtoto her name is Averina
We had know dated for like 3months kijana kutu ilikuwa inanimaliza 😥so Leo nkaamua K*m invite kwa keja ya mine ata nkamuombe hizi vitu mm huyo nkapiga look 😌, nyumba nkaigarisha ngaringari for the first time nliosha nyumba Nika arrange manguo (hapa wanaume ndo wanaelewa😂)Kisha nkaishia kwa nyumba ya mzae nkabeba gas na viombo kadha nkaleta kwa keja
Mm huyo K**a gari ya miraa hadi butchery ya Njoro nkabuy ka quator vile Njoro alikuwa ananicheki nk**a aligundua Kuna mtu anaingia kichinjio leo ata akaongeza kiac ndo nsiagushe wanaume😂 After apo nkapitia chemist kubuy CD nkapata leo ni Nancy ndo anauza ooh wenye hamjui Nancy ni dem flani apo nlimkatia akaringa Sasa leo hatajua hajui bazenga 💪 nkaingia K**a chairman 😂
Me: Mambo Nancy
Her:Poa nkusaidiaje na uharakishe I don't have time 😤
Me: Nisaidie na red card leo kuna mechi na mm ndo referee
Her:unamean ushapata mwingine 😔
Me:si uliringa alaa!!
Her:Aki sio ivo sikua nataka useme mm Ni mcheap
Me: aaah 😒 we nipe yenye nmekuitisha
Akanipea CD box moja huku amekunja sura K**a atwoli, sikuizi wanaume tuliomoka ukiringa tunasonga wanaume volume iko sawa ama niongeze? last place nlipitia ni wines and spirits nkabuy my all time favorite kingfisher 🍾 (panty remover)
Nkaishia home nkapata mzae na mathe apo nje mathe alinotice leo mtu anakuja slaughter house 😋 sijui Nini husumbua wamama na hii kiherere ya kushout vitu akuna mathe alishout"woiwoi mtoto wawenyewe Leo anaumia"sikushugulika na yeye nkaingia makejani nkapata... To be continued...Thank you for reading 🙏
Like to unlock the next episode

Darling,I know that you think you know me, but I’m here to tell you that you have no clue...No clue what I’ve been throu...
22/06/2023

Darling,
I know that you think you know me, but I’m here to tell you that you have no clue...
No clue what I’ve been through.
No clue the fire I’ve walked through.
No clue how strong I am.
So, before you pass judgement on me and assume you know everything about me from a five minute conversation, get to know me.
Try to understand just a little of where I’ve been, who I am and who I’m becoming before you think you know me.
Maybe I’m not the easiest person to get to know- I’ve built some high walls around my heart- but I’m worth every bit of time it will take you to earn my trust.
I have a huge heart and I’m passionate about my choices and my people- when I love, I do it with everything I have.
I don’t do anything halfway and I don’t accept anything less than what I deserve.
Why?
Because I know what I’m worth and I value myself and what I have to offer..
I won’t settle, be okay with disrespect or accept being just another option in your life.
If you want to love me- truly love me- then give me your honest, real and loyal love.
Don’t play games or hold back..I want to know all of you, because that’s the only way this works- all of me and all of you.
There’s going to be both ugly and beautiful parts, but that’s just part of it.
Love isn’t about seeing a perfect person, but accepting an imperfect person perfectly.
So, I know what I want and what I’m good with, so if you want to earn my love, start with the parts that matter most:
My mind, heart and soul.
I’ve paid dearly for early ounce and I own it.
I know who I am and what I want.. and deserve.
I will never again settle for anything less.
I’m worth it.
|ravenwolf

For exclusive content, follow me on TikTok master and on page Josky de Jozfat kafinix or ZKT ZKT #734 BazeZKT #734 Baze Baze

d-unsigned-versions-available-x

24/05/2023

Hello ❣️
I'm a rich nurse from USA❣️
I'm single and I need a good friend from this group no matter the age
I promise to take care of the person.
Message now if you need my financial assistance

29/03/2023

Wanaume ni wa maana sana,anakupea mayai mbili🥚🥚ndizi moja🍌na tumaziwa kidogooo🥛unashiba miezi tisa,shukurani wanaume 👏👏👏

Address

Irvington
New

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Josky de Jozfat kafinix posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Josky de Jozfat kafinix:

Share